slider gif

slider gif

kilimanjaro CAN ONLY B CLIMBED FROM TZ

kilimanjaro CAN ONLY B CLIMBED FROM TZ

Tuesday, August 29, 2017

PROF. MAGHEMBE ATEMBELEA OFISI ZA KIKOSI DHIDI YA UJANGILI KANDA YA KASKAZINI NA CITES JIJINI ARUSHA

Waziri wa Maliasili na Utalii, Prof. Jumanne Maghembe (kushoto) akimsikiliza Afisa Wanyamapori Mwandamizi, Segolin Tarimo alipotembelea ofisi za CITES Jijini Arusha jana.
Waziri wa Maliasili, Prof. Maghembe akizungumza na uongozi wa Kikosi Dhidi ya Ujangili (KDU) alipotembelea na kuona shughuli za kikosi hicho Jijini Arusha jana.
Baadhi ya viongozi wakuu wa KDU Kanda ya Kaskazini wakimsikiliza Mhe. Waziri, Prof. Jumanne Maghembe (hayupo pichani). 
Baadhi ya watumishi wa KDU Kanda ya Kaskazini wakimsikiliza Waziri, Prof. Jumanne Maghembe alipotembelea ofisi zao jana mkoani Arusha.
Mkutano ukiendelea jana katika ofisi za KDU Kanda ya Kaskazini kati ya Waziri wa Maliasili na Utalii ,Prof. Jumanne Maghembe na watumishi kikosi hicho.

No comments:

Post a Comment