slider gif

slider gif

kilimanjaro CAN ONLY B CLIMBED FROM TZ

kilimanjaro CAN ONLY B CLIMBED FROM TZ

Tuesday, August 22, 2017

ZIARA YA KATIBU MKUU WIZARA YA MALIASILI NA UTALII, MAJ. GEN. GAUDENCE MILANZI MKOANI RUVUMA

Katibu Mkuu Wizara ya Maliasili na Utalii, Maj. Gen. Gaudence Milanzi akisalimiana na viongozi wa Kijiji cha Likuyu Sekamaganga alipotembelea Chuo cha Mafunzo ya Uhifadhi wa Maliasili kwa Jamii - Likuyu Semaganga mkoani Ruvuma.
Katibu Mkuu Wizara ya Maliasili na Utalii, Maj. Gen. Gaudence Milanzi (kushoto) akikagua bwalo la chakula la Chuo cha Mafunzo ya Uhifadhi wa Maliasili kwa Jamii - Likuyu Semaganga kilichopo Mkoani Ruvuma. Wengine pichani ni Mkurugenzi wa Idara ya Wanyamapori, Prof. Alexandre Songorwa na Mkuu wa Wilaya ya Namtumbo Mhe. Luckness Amlima.
Katibu Mkuu Wizara ya Maliasili na Utalii, Maj. Gen. Gaudence Milanzi (wa tatu kulia) akikagua vitalu vya miche ya miti katika mradi wa Panda Miti Kibiashara unaosimamiwa na Wakala wa Mbegu za Miti Tanzania mkoani Ruvuma.
Katibu Mkuu akizungumza na Wahifadhi na Askari wa Wanyamapori wa Pori la Akiba la Liparamba, mkoani Ruvuma ambao walikuwa katika Kituo cha Doria cha Mpepai (Mpepai Game Post).
Katibu Mkuu (wa pili kulia) na Lt.Gen. Mstaafu Samwel Ndomba wakishuka kutoka moja ya Vivutio vya Utalii Ndani ya Bustani ya Wanyama ya Lugali, wilayani Mbinga mkoa wa Ruvuma.

No comments:

Post a Comment