slider gif

slider gif

kilimanjaro CAN ONLY B CLIMBED FROM TZ

kilimanjaro CAN ONLY B CLIMBED FROM TZ

Tuesday, December 5, 2017

ALICHOSEMA NAIBU WAZIRI WA MALIASILI NA UTALII, JAPHET HASUNGA BAADA YA KUTEMBELEA MAPOROMOKO YA MTO KIMANI KATIKA PORI LA AKIBA MPANGA KIPENGELE


Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Japhet Hasunga (wa pili kushoto) akionyeshwa njia ya kuelekea kwenye maporomoko ya maji ya mto Kimani na Kaimu Meneja wa Pori la Akiba la Mpanga Kipengele, Stanslaus Odhiambo (katikati) alipotembelea maporomoko hayo katika Wilaya ya Makete Mkoani Njombe. Maporomoko hayo ambayo ni kivutio kikubwa cha utalii katika pori hilo yana urefu wa mita zaidi ya 70. Kulia ni Mkuu wa Wilaya ya Mbarali, Reuben Mfune. 
Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Japhet Hasunga (wa pili kushoto) akionyeshwa maporomoko ya maji ya mto Kimani na Kaimu Meneja wa Pori la Akiba la Mpanga Kipengele, Stanslaus Odhiambo (katikati) alipotembelea maporomoko hayo jana katika Wilaya ya Makete Mkoani Njombe. Maporomoko hayo ambayo ni kivutio kikubwa cha utalii katika pori hilo yana urefu wa mita zaidi ya 70. Kulia ni Mkuu wa Wilaya ya Mbarali, Reuben Mfune. 
Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Japhet Hasunga akiongozana na Mkuu wa Wilaya ya Mbarali, Reuben Mfune kwenda eneo la maporomoko ya maji ya mto Kimani ambayo yapo ndani ya Pori la Akiba la Mpanga Kipengele katika Wilaya ya Makete Mkoani Njombe. Maporomoko hayo ambayo ni kivutio kikubwa cha utalii katika pori hilo yana urefu wa mita zaidi ya 70
Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Japhet Hasunga (kushoto) akiangalia maporomoko ya maji ya mto Kimani alipotembelea Pori la Akiba la Mpanga Kipengele katika Wilaya ya Makete Mkoani Njombe. Maporomoko hayo ambayo ni kivutio kikubwa cha utalii katika pori hilo yana urefu wa mita zaidi ya 70.
Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Japhet Hasunga (wa pili kushoto) akiwa kwenye picha ya pamoja na Kaimu Mkurugenzi wa Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania, David Kanyata (kushoto) na baadhi ya wafanyakazi wa Pori la Akiba la Mpanga Kipengele alipotembelea  maporomoko ya maji ya mto Kimani ambayo yapo ndani ya pori hilo katika Wilaya ya Makete Mkoani Njombe. Maporomoko hayo ambayo ni kivutio kikubwa cha utalii katika pori hilo yana urefu wa mita zaidi ya 70
Maporomoko ya Maji ya Mto Kimani ambayo ni kivutio kikubwa cha utalii katika Pori la Akiba la Mpanga Kipengele katika Wilaya ya Makete mkoani Njombe. Maporomoko hayi yana urefu wa mita zaidi ya 70.
Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Japhet Hasunga (kushoto) na Mkuu wa Wilaya ya Mbarali, Reuben Mfune wakiangalia moja fuvu la mnyamapori katika moja ya pango ambalo ambalo Chief Mkwawa alilitumia kujificha wakati wa vita na wakoloni alipotembelea Pori la Akiba la Mpanga Kipengele katika Wilaya ya Makete Mkoani Njombe. 
Picha ya pamoja. (Picha na Hamza Temba)

No comments:

Post a Comment